Friday, November 14, 2008
Mambo vipi marafiki wapendwa! Mimi sijambo hofu kwenu tu! Karibuni tena katika majaribio yetu ya kurusha habari za uhakika toka sehemu mbalimbali duniani, kwa sasa unaweza kupata habari yeyote ile uitakayo kutoka nje ya Bongo kupitia blog hii. Angalia headlines za habari hizo upande wako wa kulia wa monitor yako!
Marafiki, bado tupo kwenye maandalizi ya kuwaletea habari na burudani motomoto! Tafadhali endelea kuwa nami................! kwa sasa pata habari mbalimbali za kimataifa ikiwemo uchumi, sayansi, siasa, michezo na burudani kupitia blog hii upande mdogo wa kulia wa monitor yako.
Ujumbe wetu wa leo unasema hivi.....................
usiamini kwa kuona wala kugusa, amini kwa vipimo!
Cial..................
emmanueljames18@yahoo.com/emmanueljms1@gmail.com
Ujumbe wetu wa leo unasema hivi.....................
usiamini kwa kuona wala kugusa, amini kwa vipimo!
Cial..................
emmanueljames18@yahoo.com/emmanueljms1@gmail.com

Jamani kwa wale wenye wenza (mke/mume), hali hii inatisha sana, na chanzo cha haya yote ni ama talaka au kutokuwa na maelewano baina yenu. Sasa kama huna mnyama anayeweza kutoa maziwa ya kutosha kwa mwanao unadhani nini kitatokea? Pia wale wenye wafanyakazi wa ndani ni-vema mkaishi nao vizuri ikiwa ni pamoja na kuwatimizia haki na mahitaji yao ya msingi ili kuepuka vitu kama hivi kwakuwa muda mwingi upo mbali na familia na hujui nini kinatokea wakati haupo.
Thursday, November 13, 2008

Subscribe to:
Posts (Atom)