Thursday, November 13, 2008

Bila shaka iwapo watoto wetu wangekuwa bize kiasi hiki, basi nadhani swala la ufisadi lisingekuwepo. Lakini swala la mtoto kuzaliwa kaliakoo na kukulia manzese ni moja kati ya sababu kubwa zinazoongeza ufisadi. Hii ni sawa na mtoto asiyepata chakula mara kwa mara sasa ikitokea kakiona chakula basi atachukua kwa mikono yote miwili ili wengine wasipate.