
Jamani kwa wale wenye wenza (mke/mume), hali hii inatisha sana, na chanzo cha haya yote ni ama talaka au kutokuwa na maelewano baina yenu. Sasa kama huna mnyama anayeweza kutoa maziwa ya kutosha kwa mwanao unadhani nini kitatokea? Pia wale wenye wafanyakazi wa ndani ni-vema mkaishi nao vizuri ikiwa ni pamoja na kuwatimizia haki na mahitaji yao ya msingi ili kuepuka vitu kama hivi kwakuwa muda mwingi upo mbali na familia na hujui nini kinatokea wakati haupo.